Karibu ELOHIM UNIVERSITY OF AFRICA (EUA). Tunatoa elimu bora ya nadharia na vitendo ili kukuandaa kikamilifu na huduma pamoja na soko la ajira.
Elohimu University of Africa ni taasisi ya elimu ya juu iliyosajiliwa rasmi ikilenga kutoa mafunzo yenye viwango vya juu vya ubora nchini Tanzania. Tumejikita kwenye kuwajengea wanafunzi wetu uwezo wa kitaaluma, kiroho, na uongozi bora uliotukuka.
ELOHIM UNIVERSITY OF AFRICA TUNAMINI Kwamba kuna Mungu mmoja mwenye enzi ya milele katika Utatu: Mungu Baba,Mungu Mwana,na Mungu Roho Mtakatifu. (Kumb. 6:4; Mk. 12:29; Mt 28:19; 2 Kor. 13:14).
"Kuwa chuo bora balaani Africa kinachozalisha wataalamu au watumishi wa Kimungu wenye ubunifu na wenye maadili kwaajili ya kuongoza mataifa."
"Kutoa elimu bora na inayoendana na mabadiliko ya kiteknolojia na mahitaji ya jamii.mafunzo ya vitendo"
Bonyeza kifungo kuchagua ngazi ya masomo unayotaka kuona mchanganuo wake
Introduction to Bible
Old Testament Survey
New Testament Survey
Christology
Hermeneutics
Church History I
Homiletics
Leadership
Evangelism and Church Planting
Family and Home Life
Acts of the Apostle
Pastoral Ministry
Field Practicum (Mafunzo kwa Vitendo)
Fuatilia matukio, taarifa na habari mpya kutoka ELOHIM UNIVERSITY OF AFRICA (EUA)
Angalia baadhi ya picha za matukio, mahafali na maisha ya chuo
Pata taarifa mpya, matukio na habari moja kwa moja kwenye email yako.